Jumatatu, 29 Juni 2015

NAFASI ZA MASOMO.MoCU-KITUO CHA MAFUNZO KIZUMBI


CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI -MoCU

)
KITUO CHA MAFUNZO KIZUMBI-SHINYANGA

Kinatangaza nafasi za masomo kwa Muhula wa masomo utakaoanza May 2017

Kozi zitolewazo:-

ASTASHAHADA(CERTIFICATE)-mwaka 1.
  • Usimamizi wa asasi ndogo za kifedha(Certificate in Microfinance Management)CMF
  • Usimamizi na Uhasibu(Certificate in Management and Accounting)CMA
  • Uanzishaji na Uendelezaji wa Miradi(Certificate in Enterprises Development)CED 
  • Rasilimali watu na utawala(Certificate in Human Resource Management) CHRM 
STASHAHADA(DIPLOMA)-miaka 2 .
  • Usimamizi wa asasi ndogo za kifedha(Diploma in Microfinance and Management)DMFM
  • Usimamizi wa ushirika na Uhasibu(Diploma in Co-operative Management and Accounting)DCMA.

1.SIFA ZA KUJIUNGA NA CERTIFICATE 

Waliomaliza Kidato cha nne na kufaulu masomo manne. Kwa kiwango cha D (4) na kuendelea.


2.SIFA ZA KUJIUNGA DIPLOMA.

  • Awe na Principle 1 na Subsidiary 2
  • Au awe na cheti cha kozi yoyote kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali

3. FOMU ZA KUJIUNGA NA CHUO ZINAPATIKANA SEHEMU ZIFUATAZO:
  • MoCU-Kituo cha  Kizumbi Shinyanga
  • MoCU-Moshi
  • Wale wa degree unaweza kuomba kupitia TCU.maelekezo zaidi wasiliana nasi 
PIGA SIMU ZIFUATAZO KWA MSAADA WA HARAKA

0717 168419  /0754 568042/   0713 634382
Kwa mawasiliano:- Tuandikie barua

 *MoCU Kituo cha Mafunzo KIZUMBI

    P.O.BOX 579/469
  SHINYANGA

Tunapatikana Manispaa ya Shinyanga, 
Kata ya Kizumbi,Barabara ya Tabora
 umbali wa kilomita 6 
kutoka Shinyanga Mjini
  (Simu): 028-2762860,

    Fax:  028-2762697



Tovuti: www.mocu.ac.tz